Kaka mkubwa wa migowoods akipeana mikono na maharusi Bw. Amir na Bi Aziza.... ilikuwa ilala Amana hiyo
Cameraman wetu Bw. Mtumwa Bilal akiwa kazini kuhakikisha hapitwi na tukio lolote.
Maharusi wetu wa siku hiyo Bw. Amir na Bi. Aziza wakiwa wamepakatana. Inshaallah mola awadumishieni Upendo
No comments:
Post a Comment