Total Pageviews

Monday, August 15, 2011

Sio Filamu tu, sisi tunapiga picha za matukio yote hii ni moja ya harusi tuliyofanya...

 Kaka mkubwa wa migowoods akipeana mikono na maharusi Bw. Amir na Bi Aziza.... ilikuwa ilala Amana hiyo
 Cameraman wetu Bw. Mtumwa Bilal akiwa kazini kuhakikisha hapitwi na tukio lolote.
Maharusi wetu wa siku hiyo Bw. Amir na Bi. Aziza wakiwa wamepakatana. Inshaallah mola awadumishieni Upendo

No comments:

Post a Comment